- Kutoa elimu ya ujuzi kwa watu wote hasa wale waliokata tamaa kwa kudhani kufeli mtihani ndio kufeli maisha.
- Kushirikiana na wadau mbali mbali katika kuhakikisha tunawafikia vijana wengi Tanzania ili kupunguza tatizo la ajira nchini.
- Kushirikiana na serikali katika kupunguza vijana wanaozagaa mtaani kwa kukosa shughuli maalum ya kufanya.
- Kutoa elimu ya kujitambua kwa vijana ili wawe nguzo ya kuijenga Tanzania
- Kupunguza vitendo viovu katika jamii hasa uvutaji bangi, madawa ya kulevya, ubakaji kwa kuwapatia vijana elimu ya ujuzi itakayowasaidia kuwa na kazi badala ya kujikita katika shughuli na matendo maovu.
- kuwapa moyo wale wote waliokata tamaa kwa kuwaonesha njia mbadala ya kuishi na kuyafurahia maisha yao kama wengine.
Malengo yetu
JITA VOCATIONAL TRAINING CENTRE ina malengo yafuatayo:
Subscribe to:
Posts (Atom)
No comments:
Post a Comment